Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Emanuel Tutuba amesema Noti Mpya za Tanzania zenye saini ya Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Lameck Nchemba na yeye mwenyewe, za toleo la mwaka 2010, zitaingia kwenye ...
Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza, Balandya Elikana, amewataka maofisa elimu na watendaji wa sekta hiyo kuhakikisha wanaendana na mabadiliko ya utekelezaji wa mtaala mpya wa masomo ulioanza kutumika ...
MGODI wa Mawe wa Ndolela Quarry uliopo kijiji cha Ndolela jimbo la Isimani mkoani Iringa umeanza ujenzi wa Zahanati kwa kushirikiana na wananchi ambayo itaondoa adha ya wananchi hao kutembea umbali ...
Amekariri kwamba Uingereza itashauriana na serikali mpya ya Trump ili kuipa fursa ya "kuzingatia mpango huo kwa ukamilifu". Pia amebainisha azimio la London la kupata hakikisho la ulinzi thabiti ...
Mnyama Simba kwa sasa ni kama kajipata na licha ya kuachwa pointi moja na watani zao wa jadi wanaokimbizana nao kwenye kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu, imesaliwa na mechi moja mkononi ...
KUNA wachezaji watatu ndani ya kikosi cha Yanga walioibua presha mpya inayoweza kubadilisha upepo ndani ya timu hiyo siku chache zijazo wakati Ligi Kuu Bara itakaporejea. Wachezaji hao watatu ni winga ...
Tanzanian singer Nyoshi el Saadat claims he owns enough clothes to last until 2057, rarely repeating outfits The singer has one child within wedlock and 14 daughters outside, whom he supports when ...
MAREKANI : MAELFU ya wakazi kusini mwa mji wa California wametakiwa kuondoka baada ya kuzuka moto mpya wa nyika, kaskazini mwa Los Angeles. Moto huo, unaojulikana kama Hughes Fire, umesambaa kwa ...
Freeman Mbowe, ambaye amekuwa Mwenyekiti wa chama hicho kwa kipindi cha miongo miwili, kupitia mtandao wake wa X zamani ukiitwa Twitter amempongeza mrithi wake na mkamu wake wa zamani Tundu Lissu ...
Kama kuna jambo la thamani unaweza kufanya leo, basi ni kumchagua Mungu kuwa wa kwanza kwenye maisha yako na kama utajisifu basi ujisifu kwa kuwa umemjua Yeye. Sisemi kwamba hatuhitaji kuwa na ...
Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba (kushoto) na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emanuel Tutuba wakionyesha mfano wa noti mpya za Tanzania zitakazongia kwenye mzunguko kuanzia Februari mosi, ...
It is admittedly expensive for a sub-160cc segment bike but it is one of the most powerful in its segment, and the only one to feature dual-channel ABS. Motorcyle enthusiasts’s long wait for sub-500cc ...