Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Emanuel Tutuba amesema Noti Mpya za Tanzania zenye saini ya Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Lameck Nchemba na yeye mwenyewe, za toleo la mwaka 2010, zitaingia kwenye ...
FELISTER Hassan, mama mzazi wa Mwenyekiti mpya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu amesema amefurahishwa na ushindi wa mwanawe aliopata juzi, akitarajia kuona mabadiliko ...
Maafisa wa Uganda wanajiandaa kupeleka chanjo ya majaribio kama sehemu ya juhudi za kukomesha mlipuko wa Ebola katika mji mkuu, Kampala, afisa mkuu wa afya amesema siku ya Jumapili. Kundi la ...
Tanzanian singer Nyoshi el Saadat claims he owns enough clothes to last until 2057, rarely repeating outfits The singer has one child within wedlock and 14 daughters outside, whom he supports when ...
MAREKANI : MAELFU ya wakazi kusini mwa mji wa California wametakiwa kuondoka baada ya kuzuka moto mpya wa nyika, kaskazini mwa Los Angeles. Moto huo, unaojulikana kama Hughes Fire, umesambaa kwa ...
Freeman Mbowe, ambaye amekuwa Mwenyekiti wa chama hicho kwa kipindi cha miongo miwili, kupitia mtandao wake wa X zamani ukiitwa Twitter amempongeza mrithi wake na mkamu wake wa zamani Tundu Lissu ...
Kama kuna jambo la thamani unaweza kufanya leo, basi ni kumchagua Mungu kuwa wa kwanza kwenye maisha yako na kama utajisifu basi ujisifu kwa kuwa umemjua Yeye. Sisemi kwamba hatuhitaji kuwa na ...
Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba (kushoto) na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emanuel Tutuba wakionyesha mfano wa noti mpya za Tanzania zitakazongia kwenye mzunguko kuanzia Februari mosi, ...
It is admittedly expensive for a sub-160cc segment bike but it is one of the most powerful in its segment, and the only one to feature dual-channel ABS. Motorcyle enthusiasts’s long wait for sub-500cc ...
KIUNGO mpya wa JKT Queens, Elizabeth John amesema anatamani kufanya makubwa akiwa na timu hiyo kutokana na ubora wa timu hiyo. Kinda huyo alipewa mkono wa kwaheri na Alliance Girls aliyoitumikia kwa ...
KAMA ulikuwa na hamu kubwa ya kumuona winga mpya wa Yanga, Jonathan Ikangalombo akianza kuitumikia timu hiyo, taarifa njema ni kwamba siku si nyingi utamshuhudia akiliwakilisha chama lake hilo ...
Lakini sasa amerudi nyumbani "kuandika ukurasa mpya" kwa nchi yake. Tundu Lissu, wakili mwenye umri wa miaka 55, alierejea nyumbani kwa kipindi kifupi kuwania urais mwaka 2020, amerudi tena kwenye ...