Profile Picture
  • All
  • Search
  • Images
  • Videos
  • Maps
  • News
  • More
    • Shopping
    • Flights
    • Travel
  • Notebook
Report an inappropriate content
Please select one of the options below.
  • Length
    AllShort (less than 5 minutes)Medium (5-20 minutes)Long (more than 20 minutes)
  • Date
    AllPast 24 hoursPast weekPast monthPast year
  • Resolution
    AllLower than 360p360p or higher480p or higher720p or higher1080p or higher
  • Source
    All
    Dailymotion
    Vimeo
    Metacafe
    Hulu
    VEVO
    Myspace
    MTV
    CBS
    Fox
    CNN
    MSN
  • Price
    AllFreePaid
  • Clear filters
  • SafeSearch:
  • Moderate
    StrictModerate (default)Off
Filter
LANGSUNG KABUR DARI KOST !! SAKING HORORNYA INI KAMAR !!
58:31
LANGSUNG KABUR DARI KOST !! SAKING HORORNYA INI KAMAR !!
96.1K views4 days ago
YouTubeLonceng Mystery
#HABARI: Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu DSM imewaachia huru watuhumiwa 47 wa kesi ya uhaini waliokuwa wakishikiliwa tangu Oktoba 29, 2025, kufuatia matukio ya vurugu za baada ya uchaguzi. Uamuzi wa kufuta mashtaka hayo umetolewa leo na Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama hiyo, Mhe. Ushindi Swalo katika Mahakama hiyo. Hatua hiyo imechukuliwa baada ya upande wa mashtaka, kupitia Wakili wa Serikali Mkuu John Mrema kuwasilisha ombi la Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) la kutokuwa na nia ya kuendelea na mashta
0:52
#HABARI: Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu DSM imewaachia hur…
100.1K views1 week ago
FacebookITV Tanzania
#HABARI: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. George Simbachawene, amewasihi wananchi kudumisha amani na kushirikiana na Jeshi la Polisi ili kuhakikisha usalama wa Taifa unaendelea kuimarika. Mhe. Simbachawene ameyasema hayo katika ziara yake ya kutembelea baadhi ya vituo vya Jeshi la Polisi vilivyochomwa moto jijini Dar es Salaam, ikiwemo vya Ubungo, Temboni, Mbezi Juu na Salasala, kufuatia madhara yaliyotokana na vurugu za Oktoba 29, 2025. Waziri amesisitiza kuwa uharibifu wa miundombinu ya
3:38
#HABARI: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. George Simb…
40.5K views1 week ago
FacebookITV Tanzania
#HABARI: Basi limeacha njia baada ya kufeli breki eneo la Mtoni Kwa Azizi Ali, majira ya saa tisa usiku na kuangukia makazi na biashara za watu, kwa mujibu wa mashuhuda Dereva na Utingo wa basi hilo hawajulikani walipo. Powered by #MCHEZOSUPA JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA: -Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo Pesa, M - Pesa, Halopesa, kwenda namba ya kampuni 222223 kumbukumbu namba ni 777 au weka neno ITV. #ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania #Follow @itvtz @radioonetanzania @capitaldigitaltan
4:02
#HABARI: Basi limeacha njia baada ya kufeli breki eneo la Mtoni Kwa …
127.6K views6 days ago
FacebookITV Tanzania
#HABARI: Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe.Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amekutana na Mabalozi, Wanadiplomasia wanaowakilisha nchi na taasisi mbalimbali duniani ambapo amewahakikishia kuwa nchi iko vizuri na imerejea kwenye hali yake ya kawaida baada ya matukio ya Oktoba 29. Powered by #MCHEZOSUPA JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA: - Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo Pesa, M - Pesa, Halopesa, kwenda namba ya kampuni 222223 kumbukumbu namba ni 777 au weka neno ITV. #IT
2:23
#HABARI: Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Masharik…
111.5K views6 days ago
FacebookITV Tanzania
#HABARI: Kutokana na kuenea kwa uvumi wa taarifa katika mitandao ya kijamii zikidai kuwepo kwa maandamano yanayotajwa kufanyika Desemba 9, mwaka huu, Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mhe. Paschal Chinyele amewataka viongozi wa mitaa kufuatilia wageni wanaoingia kwenye mitaa yao pamoja na kuwataka wamiliki wa nyumba za kulala wageni kuwaripoti wageni wanaowatilia mashaka katika vituo vya polisi ili kuepusha taifa kuingia katika vurugu kama zilizotokea Oktoba 29, 2025. Mhe. Chinyele amebainisha hay
2:54
#HABARI: Kutokana na kuenea kwa uvumi wa taarifa katika mitandao …
204.1K views1 week ago
FacebookITV Tanzania
#HABARI: Waziri Mkuu wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, ameielekeza Wizara ya Mambo ya Ndani kufungulia Kanisa la Ufufuo na Uzima pamoja na taasisi nyingine za kidini zilizokuwa zimefungwa, lakini ziwekwe chini ya uangalizi kwa miezi sita ili kuhakikisha zinafuata taratibu na sheria. Powered by #MCHEZOSUPA JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA: - Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo Pesa, M - Pesa, Halopesa, kwenda namba ya kampuni 222223 kumbukumbu namba ni 777 au weka neno ITV. #ITVDigital #ITVU
0:47
#HABARI: Waziri Mkuu wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, amei…
5.3K views1 week ago
FacebookITV Tanzania
3:39
#VIDEO: Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwig…
96.2K views6 days ago
FacebookITV Tanzania
1:43
“.….nimesema wanahabari wenzangu kwa sababu nilipomaliz…
48.7K views1 week ago
FacebookITV Tanzania
1:30
#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limewakamata Pendo J…
33.8K views6 days ago
FacebookITV Tanzania
See more videos
Static thumbnail place holder
More like this
Feedback
  • Privacy
  • Terms